LIVE RECORDS: Tumeanza kazi za kurekodi kwa bei iliyo nafuu sana.
Fika katika ofisi zetu zilizoko CHIGUGU.
kwa maelezo tafadhali zaidi usisite piga simu 0716 00 48 44
MNAKARIBISHWA SANA!
Je, wewe ni msanii kweli? Njoo ujiandikishe ili ufanye kazi na Big Mama Records.
Kwetu ni lazima utoke ile kinomanoma na ngoma kali kama Platinumz....
Utakapojiandikisha utakuwa unaingia mkataba wa kufanya kazi nasi bila malipo
yoyote na kupiga show chini menejimenti ya Big Mama Records.....
Kujiandikisha utatakiwa kupiga picha pamoja na 5,000/=
Karibu sana!
Karibu sana!
BMR IPO KWA AJILI YA WASANII WOTE WA MASASI. KWETU NI UPO DAR!
TUNATAKA KUKUFANYA UJIKUBALI KAMA BEN POL NA
UJULIKANE KAMA DIAMOND PLATINUMZ, WAHI SASA!








